Mkurugenzi wa Idara ya Katiba na Ufuatiliaji Haki wa Wizara ya Katiba na Sheria Bi.Jane Lyimo,akizungumza wakati wa uzinduzi wa kituo cha Huduma kwa mteja,uzinduo huo umefanyika leo Septemba 5,2024 katika Mji wa Kiserikali Mtumba jijini Dodoma.
SEHEMU ya washiriki wakimsikiliza Waziri wa Katiba na Sheria, Prof. Palamagamba Kabudi (hayupo pichani),akizungumza wakati wa uzinduzi wa kituo cha Huduma kwa mteja,uzinduo huo umefanyika leo Septemba 5,2024 katika Mji wa Kiserikali Mtumba jijini Dodoma.
WAZIRI wa Katiba na Sheria, Prof. Palamagamba Kabudi,akizungumza na moja wa mteja mara baada ya kuzindua Kituo cha Huduma kwa Mteja ,uzinduzi huo umefanyika katika Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma.
WAZIRI wa Katiba na Sheria, Prof. Palamagamba Kabudi,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuzindua kituo cha Huduma kwa mteja,uzinduo huo umefanyika leo Septemba 5,2024 katika Mji wa Kiserikali Mtumba jijini Dodoma.