Naye Mkandarasi wa Kampuni ya Mohamed Builders Bw.Burhan Hamza,ameipongeza WMA kwa kumpa kazi hiyo huku akiahidi kuwa mradi huo watakabidhi Februari 10 mwaka huu.
Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Vipimo (WMA),Prof.Eliza Mwakasangula,akiwa na wajumbe wa bodi hiyo wakipata maelezo wakati wa ziara ya wajumbe wa bodi hiyo ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la WMA Makao Mkuu Dodoma,leo Februari 7,2025 jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Vipimo (WMA),Prof.Eliza Mwakasangula,akiwa na wajumbe wa bodi hiyo wakipata maelezo wakati wa ziara ya wajumbe wa bodi hiyo ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la WMA Makao Mkuu Dodoma,leo Februari 7,2025 jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Vipimo (WMA),Prof.Eliza Mwakasangula (kushoto) akisikiliza maelezo wakati wa ziara ya wajumbe wa bodi hiyo ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la WMA Makao Mkuu Dodoma,leo Februari 7,2025 jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Vipimo (WMA),Prof.Eliza Mwakasangula,akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la WMA Makao Mkuu Dodoma,leo Februari 7,2025 jijini Dodoma.
Afisa Mtendaji Mkuu Wakala wa Vipimo Bw. Alban Kihulla,akizungumza ,akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Vipimo (WMA) kutembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la WMA Makao Mkuu Dodoma,leo Februari 7,2025 jijini Dodoma.
Mkandarasi wa Kampuni ya Mohamed Builders Bw.Burhan Hamza,akizungumza ,akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Vipimo (WMA) kutembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la WMA Makao Mkuu Dodoma,leo Februari 7,2025 jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Vipimo (WMA),Prof.Eliza Mwakasangula,(katikati)akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la WMA Makao Mkuu Dodoma,leo Februari 7,2025 jijini Dodoma.
MUONEKANO wa Jengo la WMA Makao Mkuu Dodoma.