Makamu Mwenyekiti wa kampeni ya Mama Asemewe, Verynancy Mrema (katikati akizungumzia kongamano la Binti wa Leo, Samia wa Kesho linalotarajiwa kufanyika jijini Mwanza. Kulia ni Katibu wa Idara ya Mabinti na Uwezeshaji wa kampeni ya Mama Asemewe, Benedicta Oshoa na kushoto ni Katibu wa kampeni hiyo Mkoa wa Mwanza, Marietha Mtawa.
Makamu Mwenyekiti wa kampeni ya Mama Asemewe, Verynancy Mrema akizungumza na wanahabari jijini Mwanza kuelekea kongamano la Binti wa Leo, Samia wa Kesho.
Makamu Mwenyekiti wa kampeni ya Mama Asemewe, Verynancy Mrema akizungumza na wanahabari jijini Mwanza kuelekea kongamano la Binti wa Leo, Samia wa Kesho.
Mabinti wa vyuo na vyuo vikuu nchini wakiwa tayari kwa kongamano la Binti wa Leo, Samia wa Kesho.
Mabinti wa vyuo na vyuo vikuu nchini wakiwa tayari kwa kongamano la Binti wa Leo, Samia wa Kesho.
Wanasema, ‘Mama Mitano Tena’.
Wanasema, ‘Mama Mitano Tena’.
Wanasema, ‘Mama Mitano Tena’.
Katibu Idara ya Vijana na Uhamasishaji kampeni ya Mama Asemewe, Furaha Panja akihamasisha vijana jijini Mwanza kushiriki kongamano hilo.
Tazama video hapa chini