Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC),wakipata maelezo wakati wa ziara ya kukagua na kutembelea utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa nyumba 3,500 za makazi katika eneo la Nzuguni jijini Dodoma,ziara iliyofanyika leo Machi 12,2025.
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC),wakipata maelezo wakati wa ziara ya kukagua na kutembelea utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa nyumba 3,500 za makazi katika eneo la Nzuguni jijini Dodoma,ziara iliyofanyika leo Machi 12,2025.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC),Mhe.Augustine Vuma,akizungumza na waandishi wa habari leo Machi 12,2025 mara baada ya kamati yake kufanya ziara ya kukagua na kutembelea utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa nyumba 3,500 za makazi katika eneo la Nzuguni jijini Dodoma.
Kaimu Katibu Mkuu ambaye ni Mkurugenzi wa Idara ya Ufundi na Umeme(DTES), Mhandisi Mwanahamisi Kitogo,akiipongeza Kamati ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) kwa kufanya ziara ya kukagua na kutembelea utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa nyumba 3,500 za makazi katika eneo la Nzuguni jijini Dodoma.
Mtendaji Mkuu wa TBA Arch. Daudi Kondoro,akitoa maelezo kwa Kamati ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) kuhusu utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa nyumba 3,500 za makazi katika eneo la Nzuguni jijini Dodoma.