Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) chini ya Mwenyekiti wake Mheshimiwa Halima Mdee imeanza ziara yake ya ukaguzi wa miradi mbalimbali ya afya na elimu katika Mkoa wa Iringa ambapo itatembelea Halmashauri ya Manspaa ya Iringa Mjini, Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo na Halmashauri ya Wilaya Mufindi.

03/16/2025
0 Comment
2 Views
KAMATI YA BUNGE YA LAAC YAANZA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA AFYA NA ELIMU MKOANI IRINGA
by 4dmin
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) chini ya Mwenyekiti wake Mheshimiwa Halima Mdee imeanza ziara yake ya ukaguzi wa miradi mbalimbali ya afya na elimu katika Mkoa wa Iringa ambapo itatembelea Halmashauri ya Manspaa ya Iringa Mjini, Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo na Halmashauri ya Wilaya Mufindi.