
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko,akiwasili katika Ukumbi wa Mikutano wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam kuzindua taarifa ya Utendaji wa Mamlaka za maji kwa mwaka 2023/24.
Waziri wa Maji, Jumaa Aweso,akizungumza wakati wa uzinduzi wa Taarifa ya Utendaji wa Mamlaka za Maji na Usafi wa Mazingira kwa Mwaka wa Fedha 2023/24,hafla iliyofanyika leo Machi 19,2025 katika Ukumbi wa Mikutano wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Bodi ya EWURA, Profesa Mark Mwandosya,akizungumza wakati wa uzinduzi wa Taarifa ya Utendaji wa Mamlaka za Maji na Usafi wa Mazingira kwa Mwaka wa Fedha 2023/24,hafla iliyofanyika leo Machi 19,2025 katika Ukumbi wa Mikutano wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa EWURA Dkt. James Andelile,akizungumza wakati wa uzinduzi wa Taarifa ya Utendaji wa Mamlaka za Maji na Usafi wa Mazingira kwa Mwaka wa Fedha 2023/24,hafla iliyofanyika leo Machi 19,2025 katika Ukumbi wa Mikutano wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam.
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Mashaka Biteko,akiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa EWURA mara baada ya kuzindua Taarifa ya Utendaji wa Mamlaka za Maji na Usafi wa Mazingira kwa Mwaka wa Fedha 2023/24,hafla iliyofanyika leo Machi 19,2025 katika Ukumbi wa Mikutano wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam.