Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akizungumza jambo na Askofu John Chrisostom Ndimbo wa Jimbo Katoliki la Mbinga, walipokutana Uwanja wa Ndege wa Songea, mkoani Ruvuma, Jumatatu tarehe 7 Aprili 2025.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akizungumza jambo na Askofu John Chrisostom Ndimbo wa Jimbo Katoliki la Mbinga, walipokutana Uwanja wa Ndege wa Songea, mkoani Ruvuma, Jumatatu tarehe 7 Aprili 2025.