KATIBU Tawala wa Mkoa wa Dodoma, Kaspar Mmuya,akiumwangia Maji Mti alioupanda wakati akizindua kampeni ya upandaji miti inayokwenda kwa jina la Mti Pesa katika Shule ya Msingi Mtumba iliyoratibiwa na Chama cha Wanawake kwenye Sekta ya Fedha(TAWIFA) .
KATIBU Tawala wa Mkoa wa Dodoma, Kaspar Mmuya,akimpongeza Rais wa Chama cha Wanawake kwenye Sekta ya Fedha (TAWIFA) Bi. Fikira Ntomola,wakati akipanda Miti katika Shule ya Msingi Mtumba jijini Dodoma iliyoratibiwa na Chama cha Wanawake kwenye Sekta ya Fedha(TAWIFA) .
Wanafunzi Shule ya Msingi Mtumba jijini Dodoma wakipanda Miti.
KATIBU Tawala wa Mkoa wa Dodoma, Kaspar Mmuya,akizungumza na Waandishi wa habari mara baada ya kuzindua kampeni ya upandaji miti inayokwenda kwa jina la Mti Pesa katika Shule ya Msingi Mtumba jijini Dodoma iliyoratibiwa na Chama cha Wanawake kwenye Sekta ya Fedha(TAWIFA) .
Rais wa Chama cha Wanawake kwenye Sekta ya Fedha (TAWIFA) Bi. Fikira Ntomola,akizungumza na Waandishi wa habari mara baada ya kuzinduliwa kwa kampeni ya upandaji miti inayokwenda kwa jina la Mti Pesa katika Shule ya Msingi Mtumba jijini Dodoma iliyoratibiwa na Chama cha Wanawake kwenye Sekta ya Fedha(TAWIFA) .
KATIBU Tawala wa Mkoa wa Dodoma, Kaspar Mmuya,akigawa vitabu vya elimu ya fedha kwa Wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Mtumba jijini Dodoma mara baada ya kuzindua club za Fedha Mashuleni.
Rais wa Chama cha Wanawake kwenye Sekta ya Fedha (TAWIFA) Bi. Fikira Ntomola,akiwa na Wanafunzi wa Shule ya Msingi Mtumba wakiwa wameshikilia Vitabu mara baada ya Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma, Kaspar Mmuya (hayupo pichani) kuzindua club za Fedha Mashuleni.
KATIBU Tawala wa Mkoa wa Dodoma, Kaspar Mmuya,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuzindua kampeni ya upandaji miti inayokwenda kwa jina la Mti Pesa katika Shule ya Msingi Mtumba jijini Dodoma iliyoratibiwa na Chama cha Wanawake kwenye Sekta ya Fedha(TAWIFA) .
Naye Mkuu wa Shule ya Msingi Mtumba Mwl.Kepha kitutu amemuhakikishia Katibu Tawala utunzwaji wa miti hiyo kwani itasaidia shule hiyo katika kutunza mazingira, kuwapatia vivuli na wanafunzi kujipatia chakula chenye lishe.