04/22/2025 0 Comment 35 Views Mamia wamejitokeza katika mazishi ya Mratibu wa Miss Tanzania by Suzzy Mathias Mamia wamejitokeza katika mazishi ya aliyekuwa Mratibu wa Miss Tanzania, Hashim Lundenga ambayo yamefanyika leo Aprili 22, 2025 Kidatu mkoani Morogoro. Lundenga alifariki Aprili 19,2025 Jijini Dar es Salaam baada ya kuugua kwa muda mrefu. Copyright 2007 ©MICHUZI JR KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA YA MAMA SAMIA YAENDELEA KUNUFAISHA WANANCHI WA MKOA WA KASKAZINI UNGUJA EWURA YASHIRIKI KILELE CHA WIKI YA MAJI Mamia wamejitokeza katika mazishi ya aliyekuwa Mratibu wa Miss Tanzania, Hashim Lundenga ambayo yamefanyika leo Aprili 22, 2025 Kidatu mkoani Morogoro. Lundenga alifariki Aprili 19,2025 Jijini Dar es Salaam baada ya kuugua kwa muda mrefu. SHARE Mpya, Trending Habari