Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa akisalimiana na Mheshimiwa Ichiro Aisawa, Mwenyekiti wa Chama cha Urafiki wa Wabunge wa Japan na Afrika (Africa Union Parliamentarians Friendship) kwenye Ofisi za Bunge la Japan, Mei 29, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa akizungumza na Mheshimiwa Ichiro Aisawa, Mwenyekiti Chama cha Urafiki wa Wabunge wa Japan na Afrika (Africa Union Parliamentarians Friendship) kwenye Ofisi za Bunge la Japan, Mei 29, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na Mheshimiwa Ichiro Aisawa, Mwenyekiti Chama cha Urafiki wa Wabunge wa Japan na Afrika (Africa Union Parliamentarians Friendship) (Wa pili kulia) na ujumbe wake, kwenye Ofisi za Bunge la Japan, Mei 29, 2025. Kushoto ni Naibu Waziri , Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Stanslaus Nyongo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)