Nilizaliwa kwenye familia ambayo iliamini mafanikio ni kitu kinachorithiwa. Baba yangu alikuwa mfanyabiashara mkubwa, mama alikuwa mwalimu mashuhuri, na ndugu zangu wote walikuwa wamesoma hadi vyuo vikuu vikubwa. Lakini mimi nilikuwa tofauti. Nilipokuwa mtoto, nilipatwa na ugonjwa wa kupooza wa muda mrefu uliosababisha niache shule kwa zaidi ya miaka miwili. Hali hiyo ilinifanya niachwe nyuma […]……… SOMA ZAIDI