Afisa Ushirika Mkuu kutoka Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania TCDC, Justin Mogendi,akizungumza wakati akifunga mafunzo kwa wanachama wa Vyama vya Ushirika vya Mazao ya Bustani ikiwa ni utekelezaji wa Mradi Kwa awamu ya pili mwaka 2024/2025 yaliyohitimishwa Juni 7,2025 katika Haydom AMCOS iliyopo Haydom Halmshauri ya Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara kwa niaba ya Mrajisi Msaidizi wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa Manyara.
Afisa Ushirika Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu, Dominick Nzimba,akizungumza wakati wa mafunzo kwa wanachama wa Vyama vya Ushirika vya Mazao ya Bustani ikiwa ni utekelezaji wa Mradi Kwa awamu ya pili mwaka 2024/2025 yaliyohitimishwa Juni 7,2025 katika Haydom AMCOS iliyopo Haydom Halmshauri ya Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara.
Mwenyekiti wa Haydom AMCOS, John Sanka,akizungumza wakati wa mafunzo kwa wanachama wa Vyama vya Ushirika vya Mazao ya Bustani ikiwa ni utekelezaji wa Mradi Kwa awamu ya pili mwaka 2024/2025 yaliyohitimishwa Juni 7,2025 katika Haydom AMCOS iliyopo Haydom Halmshauri ya Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara.
Mtendaji wa Kata ya Haydom Elizabeth Marwa,akizungumza wakati wa mafunzo kwa wanachama wa Vyama vya Ushirika vya Mazao ya Bustani ikiwa ni utekelezaji wa Mradi Kwa awamu ya pili mwaka 2024/2025 yaliyohitimishwa Juni 7,2025 katika Haydom AMCOS iliyopo Haydom Halmshauri ya Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara.
Sehemu ya wanaushirika wa Haydom AMCOS wakimsikiliza Afisa Ushirika Mkuu kutoka Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania TCDC, Justin Mogendi (hayupo pichani) wakati akifunga mafunzo kwa wanachama wa Vyama vya Ushirika vya Mazao ya Bustani ikiwa ni utekelezaji wa Mradi Kwa awamu ya pili mwaka 2024/2025 kwa niaba ya Mrajisi Msaidizi wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa Manyara.