Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus Sangu,akipata maelezo kutoka kwa Ofisa Uhusiano Mwandamizi wa EWURA ,Tobietha Makafu,mara baada ya kutembelea Banda la EWURA,katika maonesho ya wiki ya Utumishi wa umma yanayoendelea katika viwanja vya Chinangali jijini Dodoma.
Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus Sangu,akitoa maoni kuhusu shughuli za udhibiti wa huduma za nishati na maji, alipotembelea banda la EWURA, katika maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea katika viwanja vya Chinangali,jijini Dodoma.
Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus Sangu,akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Uhusiano Mwandamizi wa EWURA ,Tobietha Makafu,mara baada ya kutembelea Banda la EWURA,katika maonesho ya wiki ya Utumishi wa umma yanayoendelea katika viwanja vya Chinangali jijini Dodoma.