
Mwanadada machachari kutoka Tanzania, Rosemary Range amejinyakulia tuzo ya “Mshawishi wa Mitandao Anayeinuka Kwa Kasi Zaidi” katika hafla ya EAEA iliyofanyika jijini Nairobi.
alivutia macho ya wengi alipowasili na mbwembwe ukumbini akiwa amevalia vazi la kisasa lenye muonekano mzuri.
Tufuatilie kupitia YouTube ya Global TV — usisahau ku-like, ku-comment na ku-subscribe ili uendelee kuhabarika kila siku kwa habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika.