Ushindi mnono upo Jumamosi ya leo na kampuni kubwa ya ubashiri ya Meridianbet. Tengeneza jamvi lako lenye mechi nyingi sana huku machaguo zaidi ya 1000 yakiwa yanakusubiri. Napoli, City, Barcelona na wengine kibao wanakungoja.
BUNDESLIGA kule Ujerumani kuendeleaBayer Leverkusen chini ya Ten Hag watamleta nyumbani kwao TSG Hoffenheimambao kushinda mechi hii wamepewa ODDS 5.20 kwa 1.57. Pesa yako unaiweka wapi kwa timu hizi mbili?. Beti hapa.
Werder Bremen wao watasafiri kukiwasha dhidi ya Eintracht Frankfurt ambao ndio wanaopewa nafasi ya kushinda mechi hii ya leo wakiwa na ODDS 1.72 kwa 4.60. Takwimu zinaonesha kuwa mara ya mwisho kukutana, mwenyeji alifungwa. Je leo hii wanaweza kulipa kisasi wakiwa nyumbani?. Bashiri hapa.
Borussia Dortmund watakuwa ugenini kusaka pointi tatu dhidi ya FC ST. Pauli, huku mechi ya mwisho kukutana, Borussia aliondoka na ushindi kwenye mechi mbili zote. Leo hii kila timu inataka ushindi ikiwa nyumbani. Je nani kuondoka na ushindi?. Suka jamvi lako hapa.
Mpunga upo kwenye michezo ya kasino ya mtandaoni kama vile Poker, Keno, Roulette, Aviator, Superheli hivyo ingia na ukusanye maokoto zaidi na zaidi. PIGA *149*10# AU tembelea tovuti yao meridianbet.co.tz kubashiri mechi zote.
Ligi kuu ya Italia SERIE A kurejea leo rasmi kwa mechi kali kweli kweli Napoli ataanza ligi ugenini dhidi ya Sassuolo Calcio ambao wamepanda daraja msimu huu, na leo hii hawapewi nafasi kubwa ya ushindi kwani wana ODDS 5.20 kwa 1.72. Je Conte na vijana wake wataanzaje ligi?,. Suka jamvi hapa.
AC Milan nao watakuwa nyumbani kupepetana dhidi ya US Cremonese ambao mara ya mwisho kukutana ilikuwa ni msimu wa 2022/23 huku mechi zote wakitoshana nguvu. Huu ni msimu mpya nani kuanza ligi na ushindi siku ya leo?. ODDS za mechi hii ni 1.46 kwa 7.00. Jisajili hapa.
Hapo baadae AS Roma watakuwa dimmbani kukipiga dhidi ya Bologna FC huku mtanange huu pale Meridianbet 2.15 kwa 3.70. Kila timu inahitaji ushindi mnono siku ya leo hivyo usisahau kubashiri mechi hii ndani ya Meridianbet.
Ligi kuu ya Uingereza, EPL mapema kabisa leo hii Manchester City atakuwa nyumbani kukiwasha dhidi ya Tottenham Spurs ambapo wote wametoka kupata ushindi mnono mechi zao za kwanza. Meridianbet wanampa nafasi kubwa ya kushinda Pep Guardiola kwa ODDS 1.55 kwa 5.60. Beti yako unaiweka wapi hapa?. Jisajili sasa.
Pia naye Burnley FC baada ya kupoteza mechi iliyopita, leo hii atakuwa nyumbani kusaka ushindi dhidi ya Sunderland AFCambao walishinda mechi iliyopita. Wote hawa wametoka kupanda ligi kuu msimu huu huku ODDS za mechi hii zikiwa ni 2.40 kwa 3.30. Suka jamvi hapa.
Kwa upande wa Brentford wao baada ya kupoteza mechi iliyopita watakuwa na kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Aston Villaambao walitoa sare. Mechi ya mwisho kukutana, Villa aliondoka na ushindi hivyo leo hii Nyuki anataka kulipa kisasi. Je nani ataondoka na ushindi mnono leo?. Tandika jamvi mechi hii yenye ODDS 3.15 kwa 2.27.
Vijana wa Mikel Arteta Arsenal watakuwa nyumbani kumenyana dhidi ya Leeds Unitedambao wamepanda daraja msimu huu. Wote wamtoka kupata ushindi mwembamba mechi zao zilizopita, lakini leo hii kila timu inahitaji pointi tatu. 1.38 kwa 8.20 ndio ODDS za mechi hii. Suka jamvi hapa.
Vilevile ligi kuu ya Hispania, LALIGA kuna mechi za kubashiri RCD Mallorca baada ya kupoteza mechi iliyopita, leo hii atakuwa kibaruani dhidi ya RC Celta Vigo ambao mechi iliyopita, walipoteza yaani zinakutana timu zinazowania pointi 3 za kwanza. Tengeneza jamvi mechi hii yenye ODDS 3.10 kwa 2.50.
Diego Simeone na vijana wake Atletico Madrid baada ya kupoteza mechi iliyopita, leo hii watakuwa nyumbani kusaka ushindi wa kwanza dhidi ya Elche CF ambaye alitoa sare. Meridianbet wameipa mechi hii ODDS 1.28 kwa 12. Wewe beti yako unaiweka kwa nani leo?. Jisajili hapa.
Bingwa mtetezi wa ligi FC Barcelonaatamenyana dhidi ya Levante ugenini ambapo vijana wa Hans Flick ndio wanaopewa nafasi kubwa ya kushinda mechi hii ya leo kwa ODDS 1.27 kwa 9.80. Barca ataendeleza moto leo?. Beti hapa.