Timu ya Taifa ya Morocco imekuwa timu ya kwanza kutoka Afrika kukata tiketi ya kushiriki kombe la Dunia la FIFA 2026 kufuatia ushindi wa 5-0 dhidi ya Niger.
Morocco itashiriki michuano hiyo kwa mara ya 7 baada ya kufanya hivyowaka 1970, 1986, 1994, 1998, 2018, 2022 na 2026
FT: Morocco π²π¦ 5-0 π³πͺ Niger
β½ 29β 38β Saibari
β½ 51β El Kaabi
β½ 69β Igamane
β½ 85β Ounahi
βΒ










