SIMBA SC baada ya kupoteza Ngao ya Jamii, Septemba 16 2025 mbele ya Yanga SC msafara ulikwea pipa na umefika salama Botswana kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa mwisho wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya awali dhidi ya Gaborone United.
Hii hapa orodha ya wachezaji wa Simba SC waliopo Botswana watakuwa na kazi Jumamosi ya Septemba 20 2025:-
Makipa
Moussa Camara, Yakoub Suleiman na Alexender Erasto.
Mabeki
Shomari Kapombe, Anthony Mligo. Rushine De Reuck, Wilson Nangu, Naby Camara.
Viungo
Yusuph Kagoma, Allasane Kante, Kibu Dennis, Ellie Mpanzu. Ladack Chasambi, Mzamiru Yassin, Neo Maema. Joshua Mutale, Jean Ahoua, Daud Semfuko Morice Abraham.
Washambuliaji
Steven Mukwala, Seleman Mwalimu, Jonathan Sowah.