Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt,Samia Suluhu Hassan akitembelea Maonyesho ya Mabanda mbalimbali wakati wa Mkutano Mkuu wa 39 wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa (ALAT) uliofanyika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Center Dodoma leo Machi 11,2025.