Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Mhandisi Gissima Nyamo – Hanga akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mafanikio na mwelekeo wa shirika hilo katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita leo Machi 26, 2025, katika Ofisi za Idara ya Habari – MAELEZO, jijini Dodoma.
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Mhandisi Gissima Nyamo – Hanga,akijibu maswali mbalimbali yaliyoulizwa na waandishi wa habari (hawapo pichani) mara baada ya kuwasilisha mafanikio na mwelekeo wa shirika hilo katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita leo Machi 26, 2025, katika Ofisi za Idara ya Habari – MAELEZO, jijini Dodoma.
Sehemu ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Mhandisi Gissima Nyamo – Hanga (hayupo pichani) wakati akiwasilisha kuhusu mafanikio na mwelekeo wa shirika hilo katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita leo Machi 26, 2025, katika Ofisi za Idara ya Habari – MAELEZO, jijini Dodoma.
Na.Alex Sonna-DODOMA