04/22/2025 0 Comment 65 Views Mamia wamejitokeza katika mazishi ya Mratibu wa Miss Tanzania by Suzzy Mathias Mamia wamejitokeza katika mazishi ya aliyekuwa Mratibu wa Miss Tanzania, Hashim Lundenga ambayo yamefanyika leo Aprili 22, 2025 Kidatu mkoani Morogoro. Lundenga alifariki Aprili 19,2025 Jijini Dar es Salaam baada ya kuugua kwa muda mrefu. Copyright 2007 ©MICHUZI JR MBUYU WENYE TASWIRA YA BIKIRA MARIA KIVUTIO KIPYA HIFADHI YA TAIFA YA SAADANI MWANZA YATAJWA KUWA NA IDADI KUBWA YA LAINI ZA SIMU Mamia wamejitokeza katika mazishi ya aliyekuwa Mratibu wa Miss Tanzania, Hashim Lundenga ambayo yamefanyika leo Aprili 22, 2025 Kidatu mkoani Morogoro. Lundenga alifariki Aprili 19,2025 Jijini Dar es Salaam baada ya kuugua kwa muda mrefu. SHARE Mpya, Trending Habari