Waziri wa habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Tabia Maulid Mwita akifungua Kongamano la Wadau wa Utangazaji Zanzibar katika Ukumbi wa sheikh Idrisa Abdulwakil.Kikwajuni,Wilaya ya Mjini.
Mwenyekiti wa Tume ya Utangazaji Sleiman Ame Khamis akitoa maelezo kwa wadau wa Utangazaji Zanzibar katika Ukumbi wa sheikh Idrisa Abdulwakil.Kikwajuni,Wilaya ya Mjini.
Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania ( TCRA ) Kanda ya Zanzibar Bi Esuvatie Masinga akiielezea mashirikiano yaliopo na Tume ya Utangazaji Zanzibar katika Ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil.Kikwajuni,Wilaya ya Mjini.
Baadhi ya Wadau wa Utangazaji Zanzibar wakimsikiliza. Waziri wa habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Tabia Maulid Mwita (hayupo pichani ) katika Ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil.Kikwajuni,Wilaya ya Mjini.
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Tabia Maulid Mwita akimkabidhi zawadi Katibu Mtendaji wa Tume ya Utangazaji Zanzibar Hiji Dadi Shajak aliyotunukiwa na wafanyakazi wa Tume ya Utangazaji katika Ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil.Kikwajuni,Wilaya ya Mjini.
……………