Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na waumini wa dini ya kiislam alipomwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika baraza la Maulid Kitaifa linalofanyika, Korogwe mkoani Tanga, Septemba 05, 2025.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania Sheikh Dkt. Abubakar Zubeir bin in Ali na Mama Shamim Khan, wakati alipomwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika baraza la Maulid Kitaifa linalofanyika, Korogwe mkoani Tanga, Septemba 05, 2025
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiagana ma waumini wa dini ya kiislam baada ya kuhutubia baraza la Maulid Kitaifa linalofanyika, Korogwe mkoani Tanga, Septemba 05, 2025 kwa niana ya Rais Samia Suluhu Hassan. kushoto ni Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania Sheikh Dkt. Abubakar Zubeir bin in Ali
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimkabidhi tuzo Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania Sheikh Dkt. Abubakar Zubeir bin in Ali ya kutambua mchango wake katika kuendeleza dini ya kiislam. Tuzo hiyo imetolewa na BAKWATA.