Mkurugenzi wa Kampuni ya Nazneen, Hafeezali Gangji (wapili kulia) akikabidhi mfano wa funguo ya mtambo wa kuchanganyia zege,Zulfiqar zaky (katiakti) Dar es Salaam baada ya kununua mtambo huo kwenye maonesho ya 26 ya Buld Expo 2025. Kushoto ni Mohammed Kassam, Mkurugenzi wa Mauzo wa kamapuni hiyo, Niranjani Bandi na Nazia Gangji.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Kobelco, (Kentaro Nezak (wapili kulia) akikabidhi mfano wa funguo wa mtambo kwa mteja wa mtambo huo, mkurugenzi wa Kmapuni ya Crystal, Bashir Bandari (katikati) Dar es Salaam jana wakati wa Maonesho ya 26 ya Building Expo Africa 2025.Wapili kushoto ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Nazneen, Hafeezali Gangji
Mkurugenzi wa Kampuni ya Nazneen, Hafeezali Gangji (wapili kushoto) akikabidhi mfano wa funguo ya mashine ya kubebea vitu vizito (Forklift) kwa Mwalimu wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) Philipo Ngaya (wapili kulia) Dar es Salaam jana kwa ajili ya mafunzo ya kwa vitendo kwa wanafunzi wa chuo hicho Kulia ni Meneja mkuu wa Kampuni ya Godrej, Paurush Engineer na Mkurugenzi wa Mauzo wa kamapuni hiyo, Niranjani Bandi.