0 Comment
MKUU wa Mkoa wa Simiyu Kenani Kihongosi amemshukuru Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha anatatua kero mbalimbali zinazowakumba wachimbaji wadogo wa madini katika mkoa huo wa Simiyu. Akizungumzia katika mkutano wake na wachimbaji wadogo wa madini Mkoa wa Simiyu, Kihongosi amesema changamoto kubwa iliyokua inaikabili kada hiyo ni ukosefu... Read More