0 Comment
NIRC:Nzega, Tabora. Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) imekabidhi awamu ya tatu ya utekelezaji wa Mradi wa Umwagiliaji wa Skimu ya Idudumo, wenye thamani ya zaidi ya Sh. bilioni 36, kwa Mkandarasi Kampuni ya Mkwawa Logistics and Construction Limited. Mradi wa Idudumo unalenga kuongeza eneo la umwagiliaji kutoka hekta 300 hadi hekta 1,550 ambao utakapokamilika... Read More