0 Comment
Na WAF – Dar es Salaam Waziri wa Afya, Mhe. Jenista Mhagama, leo amefanya ziara hospitali Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI), na Hospitali ya Agakhan ili kukagua na kuridhishwa utayari wa kutoa huduma kwa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Mkutano... Read More