0 Comment
Rapa maarufu kutoka Trinidad na Tobago Nicki Minaj ameweka kuwa mali zake zote amezisajili kwa jina la Mume wake Kenneth Petty na amefanya hivyo kwa sababu anamuani sana na kumpenda sana mume wake. “Mali zangu zote zimesajiliwa kwa jina la mume wangu kwa sababu nampenda na kumuamini”-amesema Nick Minaj kwenye moja ya mahojiano yake.... Read More











