0 Comment
Katibu wa Chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Tunduru Yusuf Mabena aliyekaa,akimuelekeza kada wa Chama hicho Dkt Juma Matindana namna ya kujaza taarifa kwenye fomu za kuomba kuchaguliwa kugombea Ubunge katika Jimbo la Tunduru Kaskazini. Mfanyabiashara maarufu Boniface Chacha,akijaza fomu ya kuomba kugombea ubunge katika jimbo la Tunduru Kaskazini kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi... Read More