0 Comment
Na Fauzia Mussa WAZIRI wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo wa Zanzibar, Shamata Shame Khamis, amesema maandalizi ya maadhimisho ya Siku ya Mkulima (Nane Nane) yamekamilika, ambapo maonesho hayo yanatarajiwa kufunguliwa rasmi Agosti 2 na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi. Akizungumza na waandishi wa habari baada ya... Read More








