0 Comment
Mwamvua Mwinyi, Kibaha Julai 21,2025 MHARIRI wa makala gazeti la Uhuru Selina Wilson ameingia tena katika nafasi tano za madiwani viti maalum ,kupitia Jumuiya ya wanawake wa Chama Cha Mapinduzi walioshinda wilaya ya Kibaha, mkoani Pwani. Wengine ni Aziza Mruma aliyeongoza kwa kupata kura 952, Sara Uledi kura 864 akifuatiwa na Shufaa Mshana aliyepata... Read More