0 Comment
Na John Bukuku Dar es Salaam, 21 Julai, 2025 Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeweka mkazo mkubwa katika kuhakikisha maandalizi ya uchaguzi yanafanyika kwa kuzingatia misingi ya sheria, maadili, na utulivu ili kuepusha malalamiko kutoka kwa wadau wa uchaguzi. Akizungumza leo katika ufunguzi wa mafunzo ya siku tatu kwa waratibu wa uchaguzi, wasimamizi... Read More










