0 Comment
MHE. RANDEEP SARAI: USAJILI WA VYETI VYA KUZALIWA KWA WATOTO CHINI YA MIAKA MUTANO NI HAKI YA MSINGI
Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Canada, Mhe. Randeep Sarai, amesema kuwa usajili wa vyeti vya kuzaliwa kwa watoto wenye umri wa chini ya miaka mitano ni haki ya msingi inayopaswa kutekelezwa kwa wakati, ili kuwapa watoto haki zao na kutokuathiri mustakabali wa maisha yao. Mhe. Sarai ameyasema hayo alipotembelea Kituo cha Afya cha Makuburi... Read More