0 Comment
Na John Mapepele Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhe Mohamed Mchengerwa amemtaka mkandarasi anayetekeleza Mradi wa Barabara ya Banana – Kitunda – Kivule – Msongola na Kivule – Majohe Junction, barabara za Kiwalani na Migombani kukamilika mradi huo kwa wakati bila kutoa visingizio vyovyote kwa kuwa tayari Serikali imeshamlipa fedha zote. Mhe. Mchengerwa ametoa... Read More









