0 Comment
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele akizungumza wakati akiongoza kikao cha pamoja baina ya INEC na Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) kilichokutana leo Julai 19,2025 katika Ofisi za ZEC Mjini Unguja Zanzibar. Kulia Mwenyekiti mwenza ambaye pia ni Mwebnyekiti wa ZEC, Mhe. Jaji George Joseph Kazi.... Read More









