0 Comment
Farida Mangube, Morogoro. Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhandisi Jafari A. Milango amechukua na kurejesha fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Morogoro Kusini Mashariki, akieleza dhamira yake ya kuwatumikia wananchi na kuharakisha maendeleo katika jimbo hilo. Awali Milango alikabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa CCM Wilaya, Comrade Michael... Read More