0 Comment
KILA mwaka Julai 18 dunia huadhimisha Siku ya Kimataifa ya Nelson Mandela kwa kutenga angalau dakika 67 kufanya huduma ya kijamii, kama njia ya kumuenzi shujaa huyo wa Afrika Kusini aliyejitolea maisha yake kupigania haki za binadamu, amani, usawa na utu wa mwanadamu. Katika kuadhimisha siku hii muhimu mwaka huu 2025, Umoja wa Mataifa... Read More









