0 Comment
………………… Wadau wa tasnia ya mbolea wameipongeza serikali kwa utekelezaji wake madhubuti wa Mpango wa Ruzuku ya Mbolea ambao katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita umechochea matumizi ya pembejeo hiyo katika sekta ya kilimo na kuongeza tija kwa wakulima. Serikali ya Rais wa Awamu Sita, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ilizindua utekelezaji wa Mpango... Read More







