0 Comment
Mtu mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Alptek in Zeynelabidin Aksoy (52) Raia wa Tanzania mwenye asili ya Uturuki ameuawa baada ya kushambuliwa kwa risasi na watu ambao walikuwa wakitumia usafiri wa pikipiki majira ya saa tano na nusu asubuhi eneo la Kinondoni Makaburini, Dar es Salaam, Wahusika hao inasemekana hawakuchukua kitu chochote baada ya tukio... Read More







