0 Comment
Na Farida Mangube, Morogoro Wanataaluma kutoka chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo SUA na chuo kikuu Mzumbe wameitaka jamii kuchangamkia matumizi ya nishati safi na jadidifu kama njia ya kuboresha maisha ya wananchi na kulinda mazingira, sambamba na juhudi za serikali chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan. Naibu Makamu Mkuu wa Chuo –... Read More