0 Comment
Na. Brigitha Kimario- Serengeti HIFADHI ya Taifa ya Serengeti ambayo ni miongoni mwa Hifadhi zenye hadhi ya urithi wa Dunia tangu mwaka 1981 inatarajia kuwa mwenyeji wa Maadhimisho ya Urithi wa Dunia yanayotarajiwa kufanyika Mei 05, mwaka huu katika mji wa Mugumu wilayani Serengeti. Lengo likiwa ni kutoa elimu ya umuhimu wa kuyatunza maeneo... Read More