0 Comment
NA DENIS MLOWE, IRINGA Taasisi ya Mtembezi Adventures inayojihusisha kuratibu na kuandaa shughuli mbalimbali zenye lengo la kuhamasisha utalii wa ndani imepanga kutumia Mtembezi Marathon zinazotarajiwa kufanyika Disemba 7 mwaka huu mkoani Iringa kuhamasisha utalii wa ndani kwa Watanzania. Akizungumza na wanahabari mjini Iringa katika ukumbi wa Hotel ya Alexander, Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya... Read More










