0 Comment
Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Nyamagana, akizungumza na wana CCM wakiwemo wananchi wa wilaya leo, katika mkutano wa kuwapongeza wenyeviti na wajumbe wa serikali za mitaa kwa ushindi. Katibu wa CCM Wilaya ya Nyamagana, Geofrey Nakei, akiwashukuru wananchi wa wilaya hiyo kwa kuwapigia kura wagombea wa CCM na kuwawezesha kushinda. Picha zote Na Baltazar Mashaka... Read More










