0 Comment
WAJASILIAMALI WADOGO NA WA KATI AFRIKA WAMEHIMIZWA KUWEKEZA NCHINI TANZANIA HUSUSANI SEKTA YA UTALII
Na Prisca Libaga ,Arusha WAJASILIAMALI Wadogo na wa Kati Afrika wamehimizwa kuwekeza Nchini Tanzania hususani sekta ya Utalii kwani ndio sekta yenye uhakika wa kipato. Mbali ya kuwahimiza kuwekeza Nchini pia wajasiliamali hao wanawake na vijana wametakiwa kujisajili katika mfumo rasmi wa kifedha ili waweze kutambulika na serikali na benki ili waweze kukopesheka. Hayo yalisemwa... Read More








