0 Comment
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga Pendo Mangali wakati akizungumza na viongozi waliochaguliwa katika Uchaguzi wa Serikali za mitaa ambao wamekula kiapo hii leo ……………….. Na Neema Mtuka Rukwa.Viongozi walioapishwa baada ya kutangazwa na wasimamizi wa vituo vya kupigia kura katika uchaguzi wa Serikali za mitaa uliofanyika November 27 wametakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia... Read More











