0 Comment
Dodoma Watumishi wa wizara ya Madini wametakiwa kuwa vinara wa kutangaza mikakati ya wizara hiyo inavyosimamia utekelezaji wa Sera na Mipango inayopelekea kuwepo kwa matokeo chanya katika Sekta ya Madini nchini. Hayo yamesemwa leo, Novemba 28, 2024 na Naibu Waziri wa Madini , Dkt.Steven Kiruswa wakati akifungua Baraza la Wafanyakazi Wizara ya Madini jijini Dodoma.... Read More