0 Comment
Naibu Katibu wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Mhandisi Samwel Tanguye amepokea tuzo ya Mwezeshaji/mtoa mada katika Mkutano wa tisa (9) wa Mtandao wa Mameneja na Wasimamizi wa Rasilimali watu katika Taasisi za Umma Barani Afrika unaofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa AICC – Arusha. Katibu wa Sekretarieti ya Ajira... Read More