0 Comment
Mkurugenzi Mkuu Bw. Alban Kihulla akizungumza katika Kikao kazi kati ya Ofisi ya MSajili wa Hazina na Jukwaa la Wahariri Tanzania TEF kilichofanyika ukumbi wa NSSF Ilala jijini Dar es Salaam leo Septemba 11, 2024. Deodatus Balile Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri akichangia hoja katika kikao kazi hicho. Sabato Kosuri Afisa Mawasiliano Mwandamizi Ofisi ya... Read More