0 Comment
WATU watatu wafariki dunia kwa Ajali ya gari ambayo imetokea Tarehe 27.11.2024 saa 12:30 jioni eneo la Mbembela Jijini Mbeya katika barabara kuu ya Mbeya – Tunduma, Gari lori namba T.537 DNC na Tela namba T.241 ARG aina FAW iliyokuwa imepakia madini ya Sulphur ikitokea Dar es Salaam kuelekea Tunduma Mkoa wa Songwe ilipoteza uelekeo... Read More









