0 Comment
Balozi wa Tanzania nchini Comoro, Mhe. Saidi Yakubu leo ametembelea hospitali kuu ya El Maaruf nchini humo na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa hospitali hiyo,Assoumany Abdou kuhusu ziara maalum ya madaktari na wataalam wa Afya 20 wanaokuja Comoro kufanya KambiTiba. Balozi Yakubu alimueleza Mkurugenzi Mtendaji kuwa jumla ya Madaktari 16 na Wauguzi na Wataalam... Read More