0 Comment
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Zainab Katimba amesema Serikali imeendelea kuboresha miundombu ya kutolea huduma za afya ikiwemo ujenzi wa vituo vya afya katika Kata za kimkakati ili kuendelea kutoa huduma kwa Wananchi. Mhe. Katimba amesema hayo katika kipindi cha maswali na majibu Bungeni Jijini Dodoma wakati... Read More