0 Comment
Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Tunduru Kusini na Kaskazini Chiza Marando akikanusha kuenguliwa kwa mawakala wa chama ACT-Wazalendo wataoshuhudia uchaguzi wa Serikali za mitaa kesho. …… Na Mwandishi MaalumT, unduru MSIMAMIZI wa uchaguzi wa Serikali za mitaa katika jimbo la Tunduru Kusini na Kaskazini mkoani Ruvuma Chiza Marando,amekanusha kutengua uteuzi wa majina ya mawakala wa... Read More






