0 Comment
NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt. Wilson Mahera,akizungumza wakati akifunga Mafunzo Elekezi ya siku tatu kwa Maofisa Uthibiti ubora wa Wilaya Wateule yanayofanyika jijini Dodoma. Mkurugenzi wa Uthibiti Ubora wa Shule Ephraim Simbeye,akiipongeza Wizara ya Elimu kwa kuandaa Mafunzo Elekezi ya siku tatu kwa Maofisa Uthibiti ubora wa Wilaya Wateule yanayofanyika jijini... Read More










