0 Comment
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakimsikiliza Meneja Mahusiano wa Mikopo ya Nyumba Benki ya Azania Bi. Hellen Hassan Moka akitowa maelezo ya utaratibu wa kupata mikopo kupita benki ya Azania, wakati akitembelea maonesho kabla ya kuzindua Mradi wa Mauzo wa Chumbuni, hafla... Read More









