0 Comment
Afisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA), Profesa Pallangyo akizungumza wakati akitoa taarifa kwenye Mahafali ya 22 ya taasisi hiyo Kampasi ya Singida yaliyofanyika jana Novemba 22, 2024. Na Mwandishi Wetu, Singida TAASISI ya Uhasibu Tanzania (TIA) Kampasi ya Singida imefanya jumla ya tafiti 15 na kuchapishwa katika majarida mbalimbali ya ndani na... Read More