0 Comment
Mwandishi Wetu ,Manyara. Taasisi isiyokua kiserikali ya Mati Foundation yenye lengo la kusaidia jamii ,wahitaji na makundi maaalumu ikiwemo wenye ulemavu iliyoko chini ya kampuni ya Mati Super Brands Limited imezinduliwa rasmi leo na Mkuu wa Wilaya ya Babati Emmanuela Kaganda katika makao makuu ya kampuni hiyo Mjini Babati mkoani Manyara.. Akizungumza mara baada... Read More










