0 Comment
Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb) akitoa rai kwa wadau wa sekta ya Takwimu Rasmi kushirikiana na Serikali katika kukokotoa viashiria vya maendeleo ili kutathmini hatua zilizopigwa katika Dira ya Maendeleo ya Taifa inayoisha mwaka 2025 wakati wa Mahafali ya 10 ya Chuo cha Takwimu Mashariki mwa Afrika (EASTC), yaliyofanyika jijini Dar... Read More









